Friday, April 9, 2010

Cd za X za Aisha Madinda zauzwa Dar kama njugu

Wakati kidonda cha skendo ya kusambaa kwa picha chafu za Mnenguaji ‘5 Stars’ wa African Stars International ‘Twanga Pepeta’, Aisha Mbegu ‘Aisha Madinda’ hakijapona vizuri, jipya limeibuka, Ijumaa linakuhabarisha. Chanzo chetu cha kuaminika (jina linahifadhiwa), kilisema kuwa hivi karibuni limeibuka kundi la wachuuzi wa kazi mbalimbali za wasanii ambao wanauza CD za ngono zikimuonesha mkata nyonga huyo akifanya ‘mambo’.


1 comment:

Anonymous said...

Du si mchezo